iqna

IQNA

magaidi
Maoni
TEHRAN (IQNA)- Takriban miezi 10 baada ya shambulio la kigaidi la mwaka jana kwenye Haram Takatifu ya Hadhrat Ahmad bin Musa (AS) maarufu kama Shah Cheragh mjini Shiraz kusini mwa Iran, magaidi walishambulia tena eneo hilo takatifu siku ya Jumapili, na matokeo yake yakawa ni kuuawa shahid waumini wawili na wengine wanane kujeruhiwa.
Habari ID: 3477448    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/16

Ugaidi wa Marekani
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai ya hivi karibuni ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika viunga vya mji wa Homs nchini Syria na kusema: "Utawala wa Marekani unafuatilia sera za undumakuwili katika masuala ya kimataifa ikiwa ni pamoja na mapambano dhidi ya ugaidi."
Habari ID: 3476586    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19

Jinai ya magaidi
TEHRAN (IQNA)- Raia wasiopungua 53 wameuawa katika shambulio linaloaminika kufanywa na magaidi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Homs, magharibi mwa Syria.
Habari ID: 3476579    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18

Vita dhidi ya ugaidi
TEHRAN (IQNA)- Mahakama moja nchini Libya imewahukumu kifo magaidi 17 waliokuwa wamejiunga na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).
Habari ID: 3476279    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/20

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Hatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amepongeza hatua ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ya kushambulia ngome za magaidi wanaotaka kujitenga huko kaskazini mwa Iraq na kusema: Usalama wa Iran hauwezi kufumbumbiwa macho hata kidogo.
Habari ID: 3475858    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Ugaidi wa Daesh
TEHRAN (IQNA) - Katika ripoti yake, Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch lilisema kuwa kundi tanzu la Daesh (ISIS au ISIL) nchini Afghanistan linalenga makundi ya Waislamu waliowachache Afghanistan kama vile Mashia wa kabila la Hazara.
Habari ID: 3475749    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/08

Ugaidi Marekani
TEHRAN (IQNA) – Mmarekani mmoja katika jimbo la New Mexico nchini Marekani ameshtakiwa kwa kujaribu kuanzisha kituo cha mafunzo kwa watu wanaotaka kujiunga na kundi la kigaidi la Daesh (ISIL au ISIS).
Habari ID: 3475692    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28

Ugaidi Afrika
TEHRAN (IQNA)- Washirika wa kundi la kigaidi la Al Qaeda nchini Mali wamedai kuhusika katika shambulio kwenye kambi kuu ya kijeshi ya nchi hiyo, ambayo wamesema ni jibu la ushirikiano wa serikali na washauri wa kijeshi kutoka Russia..
Habari ID: 3475532    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/24

Mshauri wa Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Mshauri wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kaumu na waliowachache kidini amesema kuna haja ya kuwafahaisha vijana utambulisho halisi wa Marekani ambayo inatenda jinai lakini inadai kutetea haki za binadamu.
Habari ID: 3475459    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/04

TEHRAN (IQNA)- Idadi ya watu waliouawa shahidi katika shambulio la kigaidi lililotokea jana kwenye Msikiti mmoja wakati wa Sala ya Ijumaa huko Kunduz, kaskazini mwa Afghanistan wamefikia Waislamu 33.
Habari ID: 3475157    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/23

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wa kundi la al Shabaab wa nchini Somalia mapema leo wameshambulia vituo vya polisi na vya upekuzi katika mji mkuu Mogadishu. Kundi hilo la kigaidi limefanya hujuma hiyo huku Somalia ikijiandaa kwa uchaguzi wa rais ulioakhirishwa mara kadhaa.
Habari ID: 3474935    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/16

TEHRAN (IQNA)- Maafisa tisa wakufunzi wa polisi Nigeria ambao ni wahadhiri wamerejea baada ya kutoweka kufuatia hujuma dhidi ya kambi yao iliyotekelezwa na kundi la igaidi linalofungamana na Daesh au ISIS.
Habari ID: 3474810    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/15

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wa al Shabab wameshambuia mji mmoja wa karibu na Mogadishu, mji mkuu wa Somalia na kuua watu wasiopungua saba.
Habari ID: 3474747    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31

TEHRAN (IQNA) - Kwa uchache watu 8 wameuawa na wengine zaidi ya 15 wamejeruhiwa hii leo katika mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari karibu na shule moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3474598    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25

TEHRAN (IQNA)- Kundi la kigaidi la ISIS limetoa taarifa na kudai kuwa limehusika na hujuma za kigaidi nchni Uganda Jumanne.
Habari ID: 3474575    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18

TEHRAN (IQNA)- Televisheni ya taifa ya Syria imetangaza kuwa askari 14 wa jeshi la nchi hiyo wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa katika shambulio la bomu lililolenga basi lililokuwa limebeba askari hao mapema leo.
Habari ID: 3474449    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20

TEHRAN (IQNA)- Kwa uchache watu 10 wameuawa katika shambulizi la magaidi wakufurishaji walilolenga msikiti wa kijiji kimoja huko magharibi mwa Niger.
Habari ID: 3474421    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/14

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kufuatia kuuawa shahidi na kujeruhiwa idadi kubwa ya watu wasio na hatia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474400    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

TEHRAN (IQNA)- Kikosi Maalumu cha Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) jana Jumatatu kiliua wanachama saba wa genge la kigaidi la al Shabab wakati kikosi hicho kilipoendesha operesheni maalumu za kuwasaka magaidi hao katika eneo la Shabelle la kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3474385    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/05

TEHRAN (IQNA)- Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa jeshi la nchi yake limemuangamiza Adnan Abou Walid al-Sahrawi, kinara wa tawi kundi la kigaidi la ISIS au Daesh Magharibi mwa Afrika (ISWAP).
Habari ID: 3474302    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/16