IQNA – Maonyesho ya sanaa ya kaligrafia yaliyopewa jina la "Machozi ya Waridi", yamezinduliwa kwa mnasaba siku za maombolezo za siku kumi za mwanzo za Mwezi wa Muharram, yakionyesha kazi za mtaalamu mahiri wa hati za kaligrafia, Ali Akbar Rezvani.
IQNA – Kundi la tawasheeh kutoka Iran linaloitwa "Muhammad Rasulollah" hivi karibuni limefanya usomaji wa pamoja wa aya ya 7 kutoka Surah Muhammad. Aya hiyo inasema: "Enyi mlioamini! Mkisaidia (dini ya) Allah, Atakusaidieni na Atayasimamisha imara miguu yenu."
IQNA – Maelfu kwa maelfu ya wananchi wa Iran walimiminika mitaani kote nchini mara baada ya sala ya Ijumaa, tarehe 13 Juni 2025, kupinga kwa nguvu mashambulizi ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yao.