IQNA

Mnara wa kuenzi kumbukumbu ya Mtoto Mpalestina-Mmarekani aliyeuawa katika jinai ya chuki

Mnara wa kuenzi kumbukumbu ya Mtoto Mpalestina-Mmarekani aliyeuawa katika jinai ya chuki

IQNA – Wakazi wa Plainfield, Illinois, nchini Marekani walikusanyika Jumamosi kufungua mnara wa kumbukumbu kuenzi maisha ya Wadea Al-Fayoume, mtoto Mpalestina-Mmarekani wa miaka sita aliyekuwa miongoni mwa waliouawa kwa ukatili wa chuki mwaka 2023.
11:33 , 2025 Jun 30
Mtafiti: Ujumbe wa Imamu Hussein (AS) waugusa ubinadamu wote

Mtafiti: Ujumbe wa Imamu Hussein (AS) waugusa ubinadamu wote

IQNA – Mwanazuoni na mtafiti wa Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kimataifa na wa milele wa harakati ya Imam Hussein (AS), akiuelezea kama ujumbe wa kibinadamu unaowagusa watu wote, bila kujali dini wala asili.
11:18 , 2025 Jun 30
Maonyesho ya kaligrafia kuhusu Imamu Hussein (AS) Yafunguliwa Mashhad

Maonyesho ya kaligrafia kuhusu Imamu Hussein (AS) Yafunguliwa Mashhad

IQNA – Maonyesho ya sanaa ya kaligrafia yaliyopewa jina la "Machozi ya Waridi", yamezinduliwa kwa mnasaba siku za maombolezo za siku kumi za mwanzo za Mwezi wa Muharram, yakionyesha kazi za mtaalamu mahiri wa hati za kaligrafia, Ali Akbar Rezvani.
10:57 , 2025 Jun 30
Mashindano ya Qur’ani nchini Slovenia yavutia washiriki zaidi ya 1,000

Mashindano ya Qur’ani nchini Slovenia yavutia washiriki zaidi ya 1,000

IQNA – Toleo la tisa la mashindano ya "Kizazi cha Qur’ani" limehitimishwa mjini Ljubljana, likiwa limewakutanisha zaidi ya washiriki elfu moja kutoka maeneo mbalimbali ya Slovenia.
10:51 , 2025 Jun 30
Nchi za Afrika zazidi kuvutia watalii Waislamu

Nchi za Afrika zazidi kuvutia watalii Waislamu

IQNA – Nchi za Afrika zinaendelea kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wasafiri Waislamu, huku vivutio vya nchi za Magharibi vikizidi kupoteza mvuto wao kwa watalii hao.
10:41 , 2025 Jun 30
Usomaji wa Pamoja wa Aya kutoka Surah Muhammad

Usomaji wa Pamoja wa Aya kutoka Surah Muhammad

IQNA – Kundi la tawasheeh kutoka Iran linaloitwa "Muhammad Rasulollah" hivi karibuni limefanya usomaji wa pamoja wa aya ya 7 kutoka Surah Muhammad. Aya hiyo inasema: "Enyi mlioamini! Mkisaidia (dini ya) Allah, Atakusaidieni na Atayasimamisha imara miguu yenu."
07:33 , 2025 Jun 30
Haram Takatifu ya Najaf yajaa Wafanyaziara katika Mwezi Mtukufu wa Muharram

Haram Takatifu ya Najaf yajaa Wafanyaziara katika Mwezi Mtukufu wa Muharram

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (Alayhis Salaam) huko Najaf, Iraq, kwa sasa inashuhudia wingi mkubwa wa wafanyaziara na waombolezaji kuadhimisha kuingia kwa mwezi wa Muharram, ambao ulianza Ijumaa, tarehe 27 Juni.
19:07 , 2025 Jun 29
Wanafunzi na Walimu wa Qur’an Waheshimiwa Nchini Qatar

Wanafunzi na Walimu wa Qur’an Waheshimiwa Nchini Qatar

IQNA – Hafla ya kila mwaka ya Idara ya Qur’an Tukufu na Sayansi Zake kwa ajili ya kuwaheshimu wanafunzi wa Qur’an imefanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha.
19:00 , 2025 Jun 29
Wizara ya Wakfu Syria yakanusha kufunga Haram ya Bibi Zaynab (SA) au kuzuia maombolezo ya Muharram

Wizara ya Wakfu Syria yakanusha kufunga Haram ya Bibi Zaynab (SA) au kuzuia maombolezo ya Muharram

IQNA – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini nchini Syria imekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuwa Haram takatifu ya Bibi Zaynab (Salamullahi ‘alayha) mjini Damascus imefungwa.
18:52 , 2025 Jun 29
Waislamu wa Singapore kutuma tani 16 za nyama ya Udhiya Gaza

Waislamu wa Singapore kutuma tani 16 za nyama ya Udhiya Gaza

IQNA – Waislamu nchini Singapore wanatarajiwa kuchangia tani 16 za nyama ya Udhiya iliyo kwenye makopo kwa ajili ya wakaazi wa Gaza, kama sehemu ya juhudi za kibinadamu zitakazofanyika mwishoni mwa mwaka 2025.
18:38 , 2025 Jun 29
Wabunge Waislamu Marekani walaani hujuma dhidi ya Mwislamu mgombea umeya wa New York, Zohran Mamdani

Wabunge Waislamu Marekani walaani hujuma dhidi ya Mwislamu mgombea umeya wa New York, Zohran Mamdani

IQNA – Wabunge wote Waislamu wa Bunge la Marekani wametoa taarifa ya pamoja kulaani mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu yaliyomlenga Zohran Mamdani, mgombea wa Umeya wa Jiji la New York, ambayo yametokea kutoka kwa wanasiasa wa chama tawala cha Warepublican na hata baadhi ya Wademocrat.
22:32 , 2025 Jun 28
Hali ya maombolezo Baina Haramain huko Karbala kufuatia kuingia kwa Muharram

Hali ya maombolezo Baina Haramain huko Karbala kufuatia kuingia kwa Muharram

IQNA – Pamoja na kuwasili kwa mimu wa  huzuni katika mwezi wa Muharram, mitaa inayoelekea kwenye makaburi matakatifu ya Imam Hussein (AS) na Hazrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imeanza kushuhudia maombolezo makubwa.
22:10 , 2025 Jun 28
Spika wa Bunge la Iran: Umoja na Uwepo wa Wairani ndiyo jibu kuu kwa Israel

Spika wa Bunge la Iran: Umoja na Uwepo wa Wairani ndiyo jibu kuu kwa Israel

IQNA – Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ameisifu hadhira kubwa ya Wairani waliohudhuria mazishi ya pamoja yaliyofanyika Jumamosi mjini Tehran kwa ajili ya mashujaa waliouawa shahidi katika hujuma ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Iran.
21:57 , 2025 Jun 28
Ndege za kuwarejesha Mahujaji wa Kiirani zaanza tena safari

Ndege za kuwarejesha Mahujaji wa Kiirani zaanza tena safari

IQNA – Operesheni ya kuwarejesha Mahujaji wa Kiirani wa Hija nchini kwa njia ya anga ilianza tena Alhamisi.
21:16 , 2025 Jun 28
Mazishi ya mashahidi  Wairani wa jinai za Israel ni dhihirisho la umoja na kupinga ubeberu

Mazishi ya mashahidi Wairani wa jinai za Israel ni dhihirisho la umoja na kupinga ubeberu

IQNA-Leo Jumamosi tarehe 28 mwezi Juni 2025 inayosadifiana na tarehe pili Muharram 1447 Hijria Tehran inashuhudia shughuli kubwa na ya kihistoria ambapo zaidi ya mashahidi 60 wa muqawama kuanzia makamanda wa jeshi hadi raia wa kawaida wa wanawake na watoto, wameagwa na umati mkubwa wa wananchi wanamapinduzi wa Iran.
13:41 , 2025 Jun 28
1