IQNA

Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Makkah zakamilika

Fainali za Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Makkah zakamilika

IQNA – Raundi ya mwisho ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma, na Kufasiri Qur’ani Tukufu imemalizika Alhamisi katika Msikiti Mtukufu wa Makkah.
21:04 , 2025 Aug 15
Wizara ya Wakfu ya Morocco ina mpango ya kutoa mafunzo kwa maimamu 48,000

Wizara ya Wakfu ya Morocco ina mpango ya kutoa mafunzo kwa maimamu 48,000

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Morocco imetangaza mpango mkubwa wa miaka mitatu wa kuwapa mafunzo mapya maimamu 48,000 wa misikiti kote nchini.
20:57 , 2025 Aug 15
Uwezo wa Kiustaarabu wa Arbaeen Wazidi Kudhihirika Kila Siku

Uwezo wa Kiustaarabu wa Arbaeen Wazidi Kudhihirika Kila Siku

IQNA – Uwezo wa kiustaarabu na wa kujenga taifa ulio ndani ya matembezi n a ziyara yakila mwaka ya Arbaeen unazidi kudhihirika kadiri siku zinavyosonga, amesema kiongozi mwandamizi wa kidini kutoka Iran.
20:46 , 2025 Aug 15
Wafanyaziara Milioni nne wamefika Iraq kushiriki hafla ya Arbaeen

Wafanyaziara Milioni nne wamefika Iraq kushiriki hafla ya Arbaeen

IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa wafanyaziara wa kigenizaidi ya milioni 4.1 wameshiriki katika ziara ya mwaka huu ya Arbaeen.
20:31 , 2025 Aug 15
Rais wa Misri ahimiza ustawishaji wa tovuti ya Idhaa ya Qur’an Tukufu

Rais wa Misri ahimiza ustawishaji wa tovuti ya Idhaa ya Qur’an Tukufu

IQNA – Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri amesisitiza umuhimu wa kuendeleza tovuti ya kimataifa ya Idhaa ya Qur’an Tukufu ya nchi hiyo.
20:16 , 2025 Aug 15
Maadhimisho ya Arbaeen yadhihirisha umoja na msimamo wa Waislamu Dhidi ya Dhulma

Maadhimisho ya Arbaeen yadhihirisha umoja na msimamo wa Waislamu Dhidi ya Dhulma

IQNA – Katika ziara ya Arbaeen, Waislamu hukusanyika kwa mshikamano ili kufikisha ujumbe wa pamoja wa kusimama imara na kudai haki, amesema afisa wa Kiirani.
23:09 , 2025 Aug 14
Maadhimisho ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS) yavutia mamilioni ya Waislamu

Maadhimisho ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS) yavutia mamilioni ya Waislamu

IQNA-Mamilioni ya Waislamu kutoka pembe mbalimbali za dunia wamekusanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kuadhimisha Arbaeen au Arubaini ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (AS), Imam wa tatu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia na mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW).
22:51 , 2025 Aug 14
Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

IQNA – Kamati Kuu ya Iraq ya Uratibu wa Wafanyaziyara Mamilioni imetangaza kuwa hadi sasa hakuna ukiukaji wowote wa usalama ulioripotiwa wakati wa matembezi ya Arbaeen.
00:05 , 2025 Aug 14
Programu za Qur’ani Zafanyika kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf

Programu za Qur’ani Zafanyika kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf

IQNA – Jukwaa la Kielimu la Qur’ani Tukufu, linalohusiana na Astan (uwakilishi wa ulinzi na usimamizi) wa Haram ya Hazrat Abbas (AS), linaandaa programu za Qur’ani na kutoa huduma za kijamii kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf.
23:54 , 2025 Aug 13
Chuo Kikuu cha Qur’ani Yemen Chaanza Shughuli za Maadhimisho ya Milad-un-Nabi

Chuo Kikuu cha Qur’ani Yemen Chaanza Shughuli za Maadhimisho ya Milad-un-Nabi

IQNA – Shughuli za kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) zimezinduliwa rasmi Jumatatu katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
23:46 , 2025 Aug 13
Mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu ashambuliwa kwenye basi Ottawa katika shambulio la chuki

Mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu ashambuliwa kwenye basi Ottawa katika shambulio la chuki

IQNA – Mwanamke mchanga Muislamu aliyevaa hijaab ameshambuliwa na kutishiwa maisha ndani ya basi la jiji la Ottawa, Canada eneo la Kanata, katika tukio linalochunguzwa na polisi kama uhalifu unaochochewa na chuki dhidi ya Uislamu.
23:36 , 2025 Aug 13
Wito wa ushiriki katika Tuzo ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen

Wito wa ushiriki katika Tuzo ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen

IQNA – Mashindano ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen yametangaza rasmi mwaliko wa ushiriki katika nyanja mbalimbali za sanaa na fasihi.
23:21 , 2025 Aug 13
Baraza la Jiji la Sydney Lakataa Pendekezo la Adhana ya Msikiti wa Lakemba

Baraza la Jiji la Sydney Lakataa Pendekezo la Adhana ya Msikiti wa Lakemba

IQNA – Pendekezo la kutangaza Adhana mara moja kwa wiki kutoka Msikiti wa Lakemba limekataliwa na baraza la eneo hilo, lakini viongozi wa jamii wamesema wamedhamiria kuendelea kutafuta suluhisho la mbele.
00:01 , 2025 Aug 13
Mashirika ya Kiislamu Uholanzi yamtuhumu Geert Wilders kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu

Mashirika ya Kiislamu Uholanzi yamtuhumu Geert Wilders kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Mashirika 14 ya Kiislamu nchini Uholanzi yamewasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya mwanasiasa wa mrengo mkali wa kulia na anayepinga Uislamu, Geert Wilders.
23:52 , 2025 Aug 12
Nasaha za Ayatullah Sistani kwa wafanyaziyara wa Arbaeen

Nasaha za Ayatullah Sistani kwa wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Ayatullah Ali al-Sistani amewataka wafanyaziyara wa Arbaeen kudumisha swala kwa wakati, ikhlasi ya moyo na na mavazi ya heshima na yenye staha katika safari yao tukufu: nguzo kuu ambazo amesema ndizo zenye kuhakikisha kukubaliwa kiroho na kupata thawabu za kudumu.
23:40 , 2025 Aug 12
1