IQNA

Hali ni shwari baada ya Iran kutungua quadcopter tatu katika mji wa Isfahan

Hali ni shwari baada ya Iran kutungua quadcopter tatu katika mji wa Isfahan

IQNA-Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, mfumo wa ulinzi wa anga wa Iran umetungua ndege tatu ndogo zisizo na rubani aina ya quadcopter katika mkoa wa Isfahan ulioko katikati mwa nchi saa kadha baada ya vyombo vya habari vya Marekani kuwanukuu maafisa waandamizi wa nchi hiyo wakidai kwamba makombora ya utawala wa Kizayuni wa Israel yamepiga eneo la Iran.
18:02 , 2024 Apr 19
Marekani yatumia kura ya turufu kupinga uanachama kamili wa Palestina katika Umoja wa Mataifa

Marekani yatumia kura ya turufu kupinga uanachama kamili wa Palestina katika Umoja wa Mataifa

IQNA-Marekani, ambayo ni muungaji mkono mkuu wa utawala haramu wa Israel, imeendeleza sera yake ya kudhoofisha kupatikana haki za Wapalestina kwa kutumia vibaya haki yake ya kura ya turufu na kupinga azimio la kuipatia Palestina uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa.
17:41 , 2024 Apr 19
Jela ya Kentucky  Marekani kuruhusu Hijabu baada ya mapatano

Jela ya Kentucky Marekani kuruhusu Hijabu baada ya mapatano

IQNA - Mapatano yamefikiwa katika kesi inayohusu jela ya Mkoa wa Warren iliyoko Bowling Green, Kentucky, nchini Marekani kuhusu mwanamke Muislamu kunyimwa haki yake ya kidini ya kuvaa Hijabu.
17:31 , 2024 Apr 19
Mkutano wa kimataifa kuhusu Makaburi ya Baqi wazinduliwa Qom

Mkutano wa kimataifa kuhusu Makaburi ya Baqi wazinduliwa Qom

IQNA - Mkutano wa kimataifa uliopewa jina la "Makaburi ya Baqi, Mahali Walimozikwa Maimamu na Masahaba" umefanyika katika mji mtakatifu wa Iran wa Qom siku ya Alhamisi.
16:43 , 2024 Apr 19
Balozi wa Iran nchini Iraq: Arbaeen Machi Mfano wa Utamaduni Mtukufu wa Kiislamu

Balozi wa Iran nchini Iraq: Arbaeen Machi Mfano wa Utamaduni Mtukufu wa Kiislamu

IQNA - Balozi wa Iran nchini Iraq Mohammad Kazem Al Sadeq amesema kuimarika kila mwaka mjumuiko na matembezi ya Arbaeen kama mfano wa utamaduni adhimu wa Kiislamu.
16:36 , 2024 Apr 19
Kikao cha Madina kujadili fursa za kuboresha Hija ya Umra

Kikao cha Madina kujadili fursa za kuboresha Hija ya Umra

IQNA – Kikao cha kwanza cha Jukwaa la Hija na Umrah kimepangwa kuanza Jumatatu ijayo, Aprili 22, katika mji mtakatifu wa Madina, Saudi Arabia.
11:02 , 2024 Apr 18
Operesheni ya Iran ya Ahadi ya Kweli imesembaratisha dhana potofu ya kutoshindwa Israel

Operesheni ya Iran ya Ahadi ya Kweli imesembaratisha dhana potofu ya kutoshindwa Israel

IQNA – Mchambuzi wa masuala ya kisiasa Lebanon amepongeza shambulio la hivi karibuni la Iran dhidi ya Israel kwa kutumia makombora na ndege zisizo na akisema kwamba limesambaratisha dhana potofu ya kutoshindwa kijeshi utawala wa Kizayuni wa Israel.
10:52 , 2024 Apr 18
Bango | Ya Rasulullah (SAW); Neno la Siri la Operesheni ya

Bango | Ya Rasulullah (SAW); Neno la Siri la Operesheni ya "Ahadi ya Kweli"

Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Sura Al Fath, aya ya 29
10:30 , 2024 Apr 18
Msomi wa Yemen: 'Ahadi ya Kweli' haikuwa tu operesheni ya kulipiza kisasi

Msomi wa Yemen: 'Ahadi ya Kweli' haikuwa tu operesheni ya kulipiza kisasi

IQNA - Profesa wa chuo kikuu cha Yemeni amesema "Operesheni ya Ahadi ya Kweli" ya kijeshi ya Iran dhidi ya Israeli ilikuwa zaidi ya shambulio la kulipiza kisasi.
22:59 , 2024 Apr 17
UN: Watu Milioni 2 huko Gaza wanapata matatizo makubwa ya kimaisha kila siku

UN: Watu Milioni 2 huko Gaza wanapata matatizo makubwa ya kimaisha kila siku

IQNA - Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu hali mbaya katika Ukanda wa Gaza ambapo watu wanahangaika maisha kila siku, ukitangaza kuwa utazindua ombi la kimataifa la dola bilioni 2.8 kwa Gaza na Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
17:57 , 2024 Apr 17
Fatwa Milioni 1.5 hutolewa katika lugha 12 nchini Misri kila mwaka

Fatwa Milioni 1.5 hutolewa katika lugha 12 nchini Misri kila mwaka

IQNA - Kituo cha Darul Iftaa cha Misri kimetoa Fatwa milioni 1.5 mshauri wa Mufti Mkuu wa nchi hiyo alisema.
17:48 , 2024 Apr 17
Mafundisho ya Quran kuhusu Nidhamu ya Kihisia

Mafundisho ya Quran kuhusu Nidhamu ya Kihisia

IQNA – Mafundisho ya Qur’ani Tukufu yanatupa miongozo na kutoa kielelezo cha nidhamu ya kihisia, kutusaidia kuzuia kuathiriwa na mihemko katika hali tofauti.
20:59 , 2024 Apr 16
Nukta nane kuhusu Shambulio la Kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel

Nukta nane kuhusu Shambulio la Kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mchambuzi wa Lebanon ameorodhesha nukta nane kuhusu mashambulizi ya kulipiza kisasi wa Iran dhidi ya utawala haramu wa Israel ambayo yalikuja baada ya mashambulizi ya Israel kwenye ubalozi mdogo wa Iran nchini Syria.
20:22 , 2024 Apr 16
Qari Hosseinipour wa Iran akisoma aya za Surah At-Taghabun (+Video)

Qari Hosseinipour wa Iran akisoma aya za Surah At-Taghabun (+Video)

IQNA - Qari mashuhuri wa Iran Seyed Mohammad Hosseinipour hivi karibuni alisoma aya za Surah At-Taghabun katika Qur'ani Tukufu.
20:03 , 2024 Apr 16
Vikao vya Qur'ani katika Haram ya Imam Ridha (AS) kuenzi operesheni ya Iran dhidi ya Israel

Vikao vya Qur'ani katika Haram ya Imam Ridha (AS) kuenzi operesheni ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Msururu wa vikao vha kusoma  Qur'ani Tukufu ambavyo vimepewa jina la "Ahadi ya Kweli" vinafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
19:56 , 2024 Apr 16
1