IQNA

Tamati ya Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani kwa Wanawake Katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah

Tamati ya Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani kwa Wanawake Katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah

IQNA-Kozi ya kiangazi ya wanawake ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah, imekamilika kwa mafanikio, ambapo washiriki zaidi ya 1,600 wametimiza masharti ya programu hiyo.
17:47 , 2025 Jul 28
Tamasha la Kwanza la Qur’ani Tukufu lafanyika Al Hoceima, Morocco

Tamasha la Kwanza la Qur’ani Tukufu lafanyika Al Hoceima, Morocco

IQNA-Mji wa Al Hoceima, ulioko kaskazini mwa Morocco, umeandaa tamasha lake la kwanza la Qur’ani Tukufu, likiwatambua washiriki mashuhuri wa mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani. Tukio hilo lilianza Ijumaa, Julai 25, na liliambatana na maadhimisho ya miaka 26 tangu Mfalme Mohammed VI achukue madaraka ya kifalme.
17:42 , 2025 Jul 28
Mji wa Qom kuwakaribisha wafanyaziyara  wa Arbaeen nusu Milioni kutoka nchi 32

Mji wa Qom kuwakaribisha wafanyaziyara wa Arbaeen nusu Milioni kutoka nchi 32

IQNA – Taasisi za kidini na kiraia katika mji mtukufu wa Qom, Iran, zinajiandaa kuwapokea zaidi ya wafanyaziyara 500,000 wa Arbaeen kutoka zaidi ya nchi 30, kwa mipango mahsusi ya huduma.
17:36 , 2025 Jul 28
Jeshi katili la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza

Jeshi katili la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza

IQNA-Jeshi la majini la utawala ghasibu wa Israel limeiteka meli ya misaada iliyokuwa ikielekea Ukanda wa Gaza, ikiwa na bendera ya Uingereza, katika harakati za kuvunja mzingiro mkali wa eneo hilo unaoendelea tangu mwaka 2007.
16:16 , 2025 Jul 27
Masheikh wa Kishia na Kisunni wa Iraq waswali pamoja katika Haram ya Imam Hussein (AS) kuashiria Umoja wa Kiislamu

Masheikh wa Kishia na Kisunni wa Iraq waswali pamoja katika Haram ya Imam Hussein (AS) kuashiria Umoja wa Kiislamu

IQNA – Katika kuonyesha mshikamano wa Waislamu, masheikh wa Kisunni walijumuika Jumamosi jioni kwa swala ya jamaa pamoja na ndugu zao wa Kishia katika Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq.
16:12 , 2025 Jul 27
Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya “Fath”: Qari Muirani asoma aya za Sura Aal Imran

Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya “Fath”: Qari Muirani asoma aya za Sura Aal Imran

IQNA- Mahdi Ghorbanali, qari wa swala ya Ijumaa mjini Tehran, amejiunga na kampeni ya Qur’ani ya IQNA iitwayo “Fath” kwa kusoma aya ya 139 ya Surah Al-Imran.
15:59 , 2025 Jul 27
Kongamano la kimataifa kuwaenzi Waislamu wenye mchango mkubwa, wakiwemo Nasrallah

Kongamano la kimataifa kuwaenzi Waislamu wenye mchango mkubwa, wakiwemo Nasrallah

IQNA – Viongozi wa kidini nchini Iran wametangaza kuanzishwa kwa kongamano la kimataifa litakalowatambua na kuwaheshimu wanazuoni watatu mashuhuri wa Kiislamu ambao urithi wao umeathiri kwa kina fikra za kidini, kitamaduni na kisiasa katika ulimwengu wa Kiislamu.
15:52 , 2025 Jul 27
Kumbukumbu ya miaka 8 ya kifo cha Sheikh Tantawi, gwiji wa usomaji Qur'ani

Kumbukumbu ya miaka 8 ya kifo cha Sheikh Tantawi, gwiji wa usomaji Qur'ani

IQNA – Jumamosi, tarehe 26 Julai 2025, ulimwengu wa Kiislamu uliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Muhammad Abdul Wahhab Al-Tantawi, gwiji wa usomaji wa Qur’ani katika enzi ya dhahabu ya Misri.
15:40 , 2025 Jul 27
Hatua ya Mkoa ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu Yaanza Tehran

Hatua ya Mkoa ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu Yaanza Tehran

IQNA – Hatua ya mkoa ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran ilianza asubuhi ya Ijumaa, Julai 25, 2025, chini ya usimamizi wa Idara ya Wakfu na Masuala ya Hisani ya Mkoa wa Tehran, katika Hoteli ya Eram.
15:18 , 2025 Jul 27
Picha: Wafanyakazi wa kujitolea wa Hilali Nyekundu ya Iran waanza safari ya Arbaeen 2025

Picha: Wafanyakazi wa kujitolea wa Hilali Nyekundu ya Iran waanza safari ya Arbaeen 2025

IQNA – Hafla ya kuwaaga wafanyakazi wa kujitolea wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS) ilifanyika mnamo Julai 26, 2025, katika Haram ya Imam Khomeini, kusini mwa Tehran, kabla ya kuelekea Iraq kwa ajili ya hija ya Arbaeen.
15:05 , 2025 Jul 27
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Maendeleo ya kijeshi na kielimu ya Iran yataharakishwa zaidi

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Maendeleo ya kijeshi na kielimu ya Iran yataharakishwa zaidi

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwamba mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yameshindwa kutimiza malengo waliyojiwekea, huku akisisitiza kwamba taifa hilo litaendelea kusonga mbele kwa kasi zaidi katika nyanja za kijeshi na kielimu kwa azma iliyo imara.
17:46 , 2025 Jul 26
Ayatullah Sistani atoa wito kwa nchi za Kiarabu na Kiislamu zichukue hatua kukabiliana na njaa inayoshadidi Gaza

Ayatullah Sistani atoa wito kwa nchi za Kiarabu na Kiislamu zichukue hatua kukabiliana na njaa inayoshadidi Gaza

IQNA-Kiongozi mkuu Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani, ameelezea masikitiko yake makubwa kuhusu hali ya kibinadamu inayoendelea kuzorota katika Ukanda wa Gaza, hususan baa la njaa linalozidi kushika kasi, na kutoa wito kwa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kuchukua hatua za haraka kukomesha janga hili la kusikitisha.
17:37 , 2025 Jul 26
Vikao vya Qur’ani Tukufu  Mwezi wa Muharram vyafanyika katika mkoa wa Babylon, Iraq

Vikao vya Qur’ani Tukufu Mwezi wa Muharram vyafanyika katika mkoa wa Babylon, Iraq

IQNA – Chuo cha Kisayansi cha Qur’ani kinachohudumu chini ya Utawala wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kimeandaa mfululizo wa vikao vya Qur’ani Tukufu katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Babylon nchini Iraq, kwa mnasaba wa mwezi wa Muharram.
17:34 , 2025 Jul 26
Ndoto ya Kusoma Qur’ani Tukufu yatimia kwa mzee mmoja wa Misri akiwa na umri wa Miaka 76

Ndoto ya Kusoma Qur’ani Tukufu yatimia kwa mzee mmoja wa Misri akiwa na umri wa Miaka 76

IQNA – Mwanamke mkongwe kutoka Aswan, Misri, aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika kwa muda mrefu, hatimaye ameweza kutimiza ndoto yake ya kusoma Qur’ani Tukufu akiwa na umri wa miaka 76.
17:30 , 2025 Jul 26
Nakala za Qur'ani zasambaziwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Al-Aaroui nchini Morocco

Nakala za Qur'ani zasambaziwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Al-Aaroui nchini Morocco

IQNA – Kwa lengo la kueneza mafundisho ya Uislamu, maafisa wa serikali ya Morocco wamegawa nakala za Qur’ani Tukufu kwa Wamorocco wanaoishi nje ya nchi waliporejea nyumbani.
17:21 , 2025 Jul 26
6