IQNA

Taarifa ya Mwisho ya Mkutano wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu kwa Ajili ya Palestina

Taarifa ya Mwisho ya Mkutano wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu kwa Ajili ya Palestina

IQNA – Mkutano wa Kwanza wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu kwa Ajili ya Palestina uliofanyika Kuala Lumpur, Malaysia, umekamilisha shughuli zake kwa kutoa tamko la mwisho.
10:01 , 2026 Jan 25
'Haki za Binadamu na Heshima ya Mwanadamu',  Kaulimbiu ya Kongamano la 6 la Imam Ridha (AS)

'Haki za Binadamu na Heshima ya Mwanadamu', Kaulimbiu ya Kongamano la 6 la Imam Ridha (AS)

IQNA – Sekretarieti ya Kongamano la Sita la Kimataifa la Imam Ridha (AS) imetoa mwaliko rasmi kwa wanazuoni na watafiti kuwasilisha makala zitakazojadili mada kuu za mkusanyiko huo wa kielimu.
08:16 , 2026 Jan 25
Kituo cha Kiislamu cha Vienna Chaandaa Warsha ya ‘Ujiandae kwa Ndoa’

Kituo cha Kiislamu cha Vienna Chaandaa Warsha ya ‘Ujiandae kwa Ndoa’

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vienna, mji mkuu wa Austria, kimeandaa warsha iliyopewa jina la “Ujiandae kwa Ndoa”, kwa lengo la kuunda mazingira salama ya tafakuri na maandalizi ya kisaikolojia kabla ya kuingia katika ndoa.
13:11 , 2026 Jan 24
Hizbullah yaonya kuwa vitisho vya Marekani dhidi ya Imam Khamenei vitateketeza eneo lote

Hizbullah yaonya kuwa vitisho vya Marekani dhidi ya Imam Khamenei vitateketeza eneo lote

IQNA-Tawi la Bunge la Harakati ya Muqawama ya Hizbullah katika Bunge la Lebanon limeonya kwamba, vitisho vya maneno vya Marekani dhidi ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei vinaweza kushadidisha mvutano katika eneo la Asia Magharibi.
09:41 , 2026 Jan 24
Mus’haf wa kihistoria wa ‘Kufi’ waonyeshwa katika Makumbusho ya Qur'ani ya Makka.”

Mus’haf wa kihistoria wa ‘Kufi’ waonyeshwa katika Makumbusho ya Qur'ani ya Makka.”

IQNA – Nakala ya kihistoria na yenye thamani kubwa ya Qur'ani Tukufu, inayojulikana kama “Qur'ani ya Kufi,” imewekwa wazi kwa umma katika Makumbusho ya Qurani ya Makka.
09:33 , 2026 Jan 24
Mashirika 10 hasimu ya ujasusi yamegonga mwamba katika njama dhidi ya Iran

Mashirika 10 hasimu ya ujasusi yamegonga mwamba katika njama dhidi ya Iran

IQNA-Shirika la Usalama la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetoa taarifa likisema, machafuko ambayo yamekuwa yakifanyika nchini Iran tangu mwishoni mwa Desemba yalikuwa sehemu ya "fitina iliyopangwa" na mashirika ya ujasusi ya nchi 10 maadui, kwa shabaha ya kuivuruga nchi kupitia vitendo vya vurugu, hujuma na kampeni za upotoshaji zilizoratibiwa kwa vyombo vya habari.
09:25 , 2026 Jan 24
Rais Pezeshkian: Maadui wa Umma wa Kiislamu wanapanga  kueneza ugaidi

Rais Pezeshkian: Maadui wa Umma wa Kiislamu wanapanga kueneza ugaidi

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mpango wa maadui wa Umma wa Kiislamu ni kueneza na kuendeleza ugaidi na ukosefu wa usalama katika eneo kwa kuzusha migogoro ya ndani katika mataifa ya Kiislamu.
09:18 , 2026 Jan 24
Wana wa Sheikh Abdul Basit wahudhuria uzinduzi wa Apu ya Al Moeen Sharjah, UAE

Wana wa Sheikh Abdul Basit wahudhuria uzinduzi wa Apu ya Al Moeen Sharjah, UAE

IQNA – Aplikesheni mahiri ya “Al Moeen” imezinduliwa katika hafla maalumu iliyofanyika Alhamisi katika Chuo cha Qur’ani Tukufu mjini Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
16:01 , 2026 Jan 23
Hujjatul Islam Shahriari Akutana na Spika wa Bunge la Malaysia

Hujjatul Islam Shahriari Akutana na Spika wa Bunge la Malaysia

IQNA – Katibu Mkuu wa Jukwaa la Kimataifa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amekutana na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Malaysia.
15:46 , 2026 Jan 23
Imam Hussein (AS) ni Kielelezo cha Milele cha Kusimama Dhidi ya Dhulma

Imam Hussein (AS) ni Kielelezo cha Milele cha Kusimama Dhidi ya Dhulma

IQNA – Leo ni Ijumaa tarehe Tatu Rajab 1447 Hijria sawa na 23 Januari mwaka 2026. Siku kama ya leo miaka 1443 iliyopita, alizaliwa Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS) mjukuu mtukufu wa Mtume Muhammad (SAW).
15:29 , 2026 Jan 23
Kiongozi wa Yemen asema Marekani imefedheheka baada ya kuibua ghasia  Iran

Kiongozi wa Yemen asema Marekani imefedheheka baada ya kuibua ghasia Iran

IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema Marekani ilichochea machafuko ya hivi karibuni nchini Iran, na kwamba imefedheheka kwani njama za zimepata kipigo kikubwa cha kimkakati.
14:59 , 2026 Jan 23
Mkutano wa Malaysia wasisitiza kubadilisha Umoja wa Kiislamu kutoka kauli mbiu hadi mkakati wa kivitendo

Mkutano wa Malaysia wasisitiza kubadilisha Umoja wa Kiislamu kutoka kauli mbiu hadi mkakati wa kivitendo

IQNA-Katika Mkutano wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu na Palestina uliofanyika Malaysia, wazungumzaji walilitaja suala la Palestina kuwa “ dira ya maadili ya Ummah wa Kiislamu” na kusisitiza umuhimu wa kuubadilisha umoja wa Kiislamu kutoka maneno ya majukwaani hadi mkakati wa kivitendo.
10:31 , 2026 Jan 22
Theluji yafunika maeneo ya mijini na vijijini Kaskazini Magharibi mwa Iran

Theluji yafunika maeneo ya mijini na vijijini Kaskazini Magharibi mwa Iran

Theluji imefunika mji wa Ahar pamoja na maeneo mengine ya mijini na vijijini katika mkoa wa Azerbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran, hali iliyowaletea furaha wakazi na hasa wakulima waliokuwa wakingoja neema ya msimu.
10:17 , 2026 Jan 22
Redio ya Mauritania yaanza kurekodi qiraa ya tartil ya Qur'ani Tukufu

Redio ya Mauritania yaanza kurekodi qiraa ya tartil ya Qur'ani Tukufu

IQNA-Hafla ya kuanza kurekodi qiraa au usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa mtindo wa tartīl kwa riwaya za Warsh na Qālūn imefanyika katika Redio ya Mauritania.
13:51 , 2026 Jan 21
Wanazuoni wa Kiislamu duniani watoa Fatwa kuharamisha mahusiano na Israel

Wanazuoni wa Kiislamu duniani watoa Fatwa kuharamisha mahusiano na Israel

IQNA – Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (International Union of Muslim Scholars – IUMS) umetoa fatwa (hukumu ya kidini) ikitangaza kwamba kuwa na mahusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel ni haramu kisheria kwa mujibu wa Uislamu.
13:37 , 2026 Jan 21
3