IQNA

“Ummah wa Mtume” ni Kaulimbiu Kuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu

IQNA – Katibu wa Makao Makuu ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu nchini Iran ametangaza kuwa kaulimbiu kuu ya hafla ya mwaka huu ni “Ummah wa Mtume Mtukufu (SAW).”

Mashindano ya Shule za Qur’ani za Misikiti yafanyika nchini Kosovo

IQNA – Mashindano ya 14 ya kila mwaka ya Maarifa ya Dini miongoni mwa wanafunzi wa madrasa (Maktab) za misikiti yamefanyika nchini Kosovo, yakihusisha...

Khatati Mashuhuri wa Misri Afichua Kuandika Nakala Sita za Qur’ani Tukufu kwa Mkono

IQNA – Khatati (mtaalamu wa hati au mwanakaligrafia) mahiri wa Misri amethibitisha kuwa amefanikiwa kuandika nakala sita kamili za Qur’ani Tukufu kwa kutumia...

Utekelezaji wa Mashindano ya 18 ya Kitaifa ya Qur’ani ya ‘Mudhammatan’ nchini Iran

IQNA – Mchakato wa utekelezaji wa toleo la 18 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya ‘Mudhammatan’ umeanza rasmi nchini Iran.
Habari Maalumu
Utawala wa Kizayuni wapandisha bendera yao juu ya Mnara wa Msikiti wa Palestina

Utawala wa Kizayuni wapandisha bendera yao juu ya Mnara wa Msikiti wa Palestina

IQNA – Katika hatua ya kichokozi na ya kuvunjia heshima, vikosi vya utawala wa Kizayuni vimepaza bendera yao juu ya mnara wa msikiti mmoja huko Palestina...
24 Aug 2026, 17:06
Dar al-Ifta ya Misri yasisitiza uhalali wa maadhimisho ya Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

Dar al-Ifta ya Misri yasisitiza uhalali wa maadhimisho ya Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Taasisi ya Dar al-Ifta (Idara ya Fatwa) ya nchini Misri imesisitiza kuwa sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW), maarufu...
23 Aug 2026, 15:56
Maonesho ya Urithi wa Kiislamu yafunguliwa Russia wakati wa Maulid

Maonesho ya Urithi wa Kiislamu yafunguliwa Russia wakati wa Maulid

IQNA – Maonesho yenye kichwa “Urithi wa Kiislamu wa Russia: Watu na Mila” yalifunguliwa katika hafla iliyofanyika Moscow jioni ya Jumamosi.
23 Aug 2026, 15:40
Aliyevunjia heshima Qur’ani Tukufu nchini Marekani akamatwa Minneapolis

Aliyevunjia heshima Qur’ani Tukufu nchini Marekani akamatwa Minneapolis

IQNA – Mwanaharakati wa mrengo mkali wa kulia nchini Marekani, ambaye amekuwa akifanya vitendo vya kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu mara kadhaa, amekamatwa...
23 Aug 2026, 15:32
Magaidi wateka waumini Msikitini Nmchini Nigeria

Magaidi wateka waumini Msikitini Nmchini Nigeria

IQNA – Watu kadhaa wametekwa nyara kutoka katika msikiti mmoja ulioko Jimbo la Niger, eneo la kaskazini-kati mwa Nigeria, na kundi la magaidi, kwa mujibu...
23 Aug 2026, 15:28
Programu za kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi zahitimishwa nchini Jordan

Programu za kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi zahitimishwa nchini Jordan

IQNA – Programu za bure za kuhifadhi, kusoma, na kusahihisha usomaji wa Qur’ani (Tajweed) kwa wanafunzi wa shule nchini Jordan zimefikia tamati katika...
22 Aug 2026, 17:17
Washindi wa Mashindano ya Qur’ani ya Makka Watunukiwa

Washindi wa Mashindano ya Qur’ani ya Makka Watunukiwa

IQNA – Washindi wa toleo la 46 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma, na kufasiri Qur’ani Tukufu wametunukiwa katika hafla...
22 Aug 2026, 17:15
Hotuba za Swala ya Ijumaa nchini Singapore kufupishwa

Hotuba za Swala ya Ijumaa nchini Singapore kufupishwa

IQNA – Kutokana na changamoto za hali ya hewa nchini Singapore, vipindi vya hotuba za Swala ya Ijumaa vitafupishwa kwa muda kuanzia wiki hii.
22 Aug 2026, 17:13
 Hamas: Hatua za Utawala wa Kizayuni hazitafuta utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al-Aqsa

 Hamas: Hatua za Utawala wa Kizayuni hazitafuta utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina,  Hamas, imesisitiza kuwa hatua mpya zinazochukuliwa na utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa...
22 Aug 2026, 17:10
Aliyevunjia heshima Uislamu nchiniMalaysia afungwa jela nchini

Aliyevunjia heshima Uislamu nchiniMalaysia afungwa jela nchini

IQNA – Mahakama moja katika jimbo la Johor, Malaysia, imemhukumu mwanamume kifungo cha jela kwa kuidhalilisha na kuivunjia heshima dini ya Kiislamu
22 Aug 2026, 17:07
Qari wa Misri afaulu katika taaluma ya tiba na usomaji wa Qur’ani

Qari wa Misri afaulu katika taaluma ya tiba na usomaji wa Qur’ani

IQNA – Salah al-Jamal ni daktari kutoka Misri ambaye amepata mafanikio makubwa katika nyanja za kuhifadhi na kusoma Qur’ani Tukufu.
21 Aug 2026, 15:04
Misikiti elfu kadhaa yajengwa na kukarabatiwa nchini Misri tangu 2014

Misikiti elfu kadhaa yajengwa na kukarabatiwa nchini Misri tangu 2014

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu nchini Misri ametangaza ujenzi au ukarabati wa misikiti takriban 15,000 nchini humo tangu mwaka 2014.
21 Aug 2026, 14:56
Msichana wa Guatemala awa mshiriki mdogo azidi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

Msichana wa Guatemala awa mshiriki mdogo azidi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

IQNA – Razan Muhammad Mutawali, msichana wa miaka mitano kutoka Guatemala, ameshiriki katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudi Arabia.
21 Aug 2026, 14:49
Rekodi  mpya ya Waislamu waliopata nyadhifa za uongozi nchini Marekani mwaka 2026

Rekodi mpya ya Waislamu waliopata nyadhifa za uongozi nchini Marekani mwaka 2026

IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetangaza kuwa Waislamu 255 wamechaguliwa kushika nyadhifa mbalimbali za umma katika majimbo...
21 Aug 2026, 15:22
Kiongozi wa Kikristo Nigeria ampongeza mwanazuoni wa Kiislamu kwa huduma ya miaka 50

Kiongozi wa Kikristo Nigeria ampongeza mwanazuoni wa Kiislamu kwa huduma ya miaka 50

IQNA – Kiongozi wa Kikristo katika Jimbo la Kaduna nchini Nigeria amemuenzo mwanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Usman Mohammed Mai-Mota (Gwalli), kwa kutambua...
20 Aug 2026, 18:56
Rekodi yavunjwa  ya waliojisajili Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai

Rekodi yavunjwa ya waliojisajili Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai

IQNA – Jumla ya maombi 20,500 kutoka nchi 135 yamewasilishwa kwa ajili ya toleo la 29 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai (DIHQA).
20 Aug 2026, 19:08
Picha‎ - Filamu‎