Habari Maalumu
IQNA – Bibi Zaynab (SA) “ndiye aliyekuwa wa kwanza kukabiliana na upotoshaji kwa kutumia mbinu zinazofanana na zile za vyombo vya habari vya leo—kufichua,...
27 Oct 2025, 16:10
IQNA – Waziri wa Urithi wa Kitamaduni, Utalii na Sanaa za Mikono wa Iran, Seyyed Reza Salehi Amiri, amesema kuwa utalii 'Halal' ni jukwaa muhimu...
28 Oct 2025, 07:01
IQNA – Kwa wastani, zaidi ya watu 5,000 kutoka mkoa wa Kordestan nchini Iran huhudhuria mashindano ya kitaifa ya Qur'an kila siku, kwa mujibu wa afisa...
27 Oct 2025, 15:54
IQNA – Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiwa hivi karibuni amefichua mambo manne muhimu yanayochangia kuenea kwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika Ukanda...
27 Oct 2025, 15:50
IQNA – Hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa toleo la 12 la mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini Mauritania imefanyika...
27 Oct 2025, 15:42
IQNA – Watawala wa Marekani wanaficha na kuziba hofu yao dhidi ya vuguvugu la wananchi nchini humo, amesema Mkuu wa Taasisi ya Utamaduni na Mahusiano ya...
27 Oct 2025, 15:38
IQNA – Kamati Kuu ya Maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Port Said nchini Misri imetangaza kufunguliwa kwa usajili wa washiriki wa...
26 Oct 2025, 21:40
IQNA – Hafla ya kufunga awamu ya mwisho ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'an ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatarajiwa kufanyika, Oktoba 27,...
26 Oct 2025, 21:29
IQNA – Mkaligrafia wa Kiirani, Bi Tandis Taghavi, amesema kuwa anatumia sanaa ya kuandika Qur'an Tukufu kama njia ya kuwasilisha mafundisho ya dini...
26 Oct 2025, 21:18
IQNA – Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa kutoka gereza la utawala wa Kizayuni ameeleza mateso makali na hali isiyo ya kibinadamu inayowakumba wafungwa...
26 Oct 2025, 21:11
IQNA – Katika kipindi cha kuelekea kuanza kwa upigaji kura wa mapema, mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, ametetea imani yake ya Kiislamu...
26 Oct 2025, 09:31
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/5
IQNA – Kwa mujibu wa mtazamo wa Kiislamu, binadamu wote ni waja wa Mwenyezi Mungu, na mali yote ni ya Mwenyezi Mungu. Hivyo basi, mahitaji ya wale wasiojiweza...
25 Oct 2025, 15:48
IQNA – Usajili umefunguliwa rasmi kwa toleo la 21 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Algeria, mojawapo ya mashindano yenye heshima kubwa...
25 Oct 2025, 15:29
IQNA – Maktaba mbalimbali nchini Tunisia, zikiwemo zile za vyuo vikuu vya Zaytouna na Kairouan pamoja na maktaba binafsi, zimehifadhi maelfu ya maandishi...
25 Oct 2025, 15:19
IQNA – Washiriki wa kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran waliendelea kuonesha umahiri wao siku ya tatu...
25 Oct 2025, 14:41