iqna

IQNA

uvumilivu
Ukweli katika Qur'ani Tukufu / 7
TEHRAN (IQNA)- Maisha ya watu yamejaa changamoto na magumu yasiyotarajiwa. Kila mtu, kwa kuzingatia hali na hadhi yake, hukabiliana na matatizo au masaibu mbalimbali ya kibinafsi, ya kifamilia na kijamii lakini si watu wote wanaoyavumilia na kuyastahimili vivyo hivyo.
Habari ID: 3476167    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/29