iqna

IQNA

biden
Jinai za Israel
IQNA - Wapiga kura wa Marekani wamehimizwa kuandika "Sitisha Vita Gaza" kwenye kura zao wakati wa kuchagua wagombea wa uchaguzi wa rais wa mwezi Novemba ikiwa ni njia ya kubainisha malalamiko kuhusu jinsi Joe Biden alivyoshughulikia vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza.
Habari ID: 3478238    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/23

Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya Rais Joe Biden wa Marekani ya kuunga mkono ghasia na machafuko nchini Iran na kusema, "Rais wa Marekani amedai kwamba "tuna mipango ya kuikomboa Iran"; hata hivyo anapaswa kuelewa kwamba Iran ilikombolewa miaka 43 iliyopita na haitatekwa tena na Marekani wala kuwa gombe la kukamuliwa maziwa."
Habari ID: 3476031    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04

Uzayuni na Marekani
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja safari ya Rais Joe Biden wa Marekanii katika eneo la Asia Magharibi (Mashariaki ya Kati) kuwa ni kielelezo cha kivitendo cha uungaji mkono kamili wa Washington kwa Tel Aviv na imeonya kuhusu hatari ya safari hiyo kwa eneo hilo na mapambano ya Palestina.
Habari ID: 3475502    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14

Uchambuzi wa kisiasa
TEHRAN (IQNA)- Mbali na kukosolewa sana safari yenye malengo ya kibeberu ya Rais Joe Biden wa Marekani huko Saudi Arabia na vilevile katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina bandia na kuitwa Israel, lakini kile kinachodhihirika zaidi katika ukosoaji huo ni kuwa kufanyika safari hiyo sambaba na siku za kutekelezwa ibada tukufu ya Hija ni jambo ambalo haliwezi kuwa limefanyika hivi hivi bali limepangwa kufikia malengo maalumu.
Habari ID: 3475490    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/11

Uchambuzi wa kisiasa
TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa mtaalamu kutoka Ujerumani, mazungumzo kuhusu bei ya nishati na vile vile kutetea uhusiano wa kawaida kati ya Saudi Arabia na utawala wa Israel ni kati ya ajenda ya ziara ya kwanza ya Rais wa Marekani Joe Biden katika eneo la (Asia Magharibi) Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3475468    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/06

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) Ismail Haniya amesema rais Joe Biden wa Marekani na Naftali Bennet waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel hawaafiki utatutzi wowote wa kisiasa wa kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3474365    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/30

TEHRAN (IQNA)- Rais Joe Biden wa Marekani amemteua Mpakistani-Mmarekani, Zahid Qureishi kuwa jaji wa mahakama katika ngazi ya fiderali nchini humo.
Habari ID: 3473789    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden limefanya mashambulizi ya anga yaliyolenga kambi za makundi ya muqawama yanayopambana na magenge ya kigaidi katika mpaka wa Iraq na Syria.
Habari ID: 3473684    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/26

TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) imepongeza hatua ya rais mpya wa nchi hiyo, Joe Biden, kuondoa marufuku ya kusafiri na kuhajiri kuelekea Marekani raia wa nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3473580    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/22

TEHRAN (IQNA)- Ghasia zimeibuka maeneo kadhaa Marekani baada ya Joe Biden kuapishwa kama rais wa 46 wa Marekani siku ya Jumatano.
Habari ID: 3473577    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/21

TEHRAN (IQNA)- Hofu imetanda kote Marekani wakati huu wa kukaribia kuapishwa Joe Biden kama rais wa nchi hiyo huku wanajeshi zaidi ya 30,000 wakiingia katika mji mkuu Washington DC kulinda usalama.
Habari ID: 3473565    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/17

TEHRAN (IQNA) - Watu wasiopungua wanne wameuawa baada ya waandamanaji wenye vurugu kuvamia Bunge la Marekani, Congress, mjini Washington DC wakitaka matokeo ya uchaguzi wa rais wa Novemba 3 yaliompa ushindi Joe Biden yabatilishwe.
Habari ID: 3473532    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/07

TEHRAN (IQNA) - Imedokezwa kuwa, Rais mteule wa Marekani, Joe Biden anatazamiwa kuangalia upya uhusiano wa karibu uliopo hivi sasa baina ya nchi hiyo na Saudi Arabia.
Habari ID: 3473361    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/15

Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amemtaka rais mteula wa Marekani Joe Biden aufutilie mbali mpango wa Marekani-Wazayuni wa Muamala wa Karne, uliojaa njama na hila kwa madhara ya Wapalestina.
Habari ID: 3473341    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08

TEHRAN (IQNA)- Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama cha cha upinzani cha Democratic, Joe Biden ndiye aliyechaguliwa na Wamarekani kuwa rais wa 46 wa nchi hiyo lakini Rais Donald Trump anasisitiza yeye ndiye mshindi na kwamba kumekuwepo wizi wa kura.
Habari ID: 3473340    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08