iqna

IQNA

baharini
Ukweli katika Qur'ani Tukufu /12
TEHRAN (IQNA) – Watafiti wa Australia wamethibitisha kwamba maji matamu yanaweza kupenya matabaka yaliyo katika kina cha na kubaki humo kwa zaidi ya miaka 20,000. Qur’ani Tukufu katika mojawapo ya aya zake imetaja jambo hili la kustaajabisha.
Habari ID: 3476664    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Amiri Jeshi wa Vikosi Vyote vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo kubadilishwa kuwa utamaduni wa watu wote nchini utumiaji uwezo na fursa adhimu za bahari zilizopo.
Habari ID: 3476166    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/29