Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Sherehe ilifanyika katika Mkoa wa Tokat, kaskazini mwa Uturuki, kwa ajili ya kuwapongeza wanafunzi 258 ambao wameweza kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3476478 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 8 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Uturuki yanaendelea kwa kushirikisha wawakilishi kutoka nchi 49.
Habari ID: 3475868 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02
Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Hafla imefanyika Silopi, mkoa wa Sirnak, kusini mashariki mwa Uturuki, kuzindua shule ya kufundisha vijana kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3475564 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31
TEHRAN (IQNA)- Ali Erbas Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini Katika Ofisi ya Rais wa Uturuki (Diyanet) hivi karibuni aliadhini akiwa ameandamana na Qarii mashuhuri wa Uturuki Othman Shaheen.
Habari ID: 3474039 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/24