TEHRAN (IQNA)- Paul Pogba mchezaji mashuhuri wa Timu ya Taifa ya Ufaransa ameondoa chupa ya pombe iliyokuwa imewekwa mbele yake kwa lengo la kutangaza shirika moja la utegenezaji pombe.
Habari ID: 3474013 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/17
TEHRAN (IQNA)- Paul Pogba nyota wa timu ya soka ya Manchester United ya Uingereza na mwenzake Ahmad Diallo jana walionekana wakiwa na bendera ya Palestina kwa ajili ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina wanaokabiliwa na hujuma na ukatili utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3473926 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/19