iqna

IQNA

MAJIRANI
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kuongezwa kiwango cha mabadilishano ya kibiashara na ushirikiano na mataifa jirani.
Habari ID: 3474247    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/01

Zarif katika Twitter baada ya
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran kwa mara nyingine tena inatangaza kwamba iko tayari kushirikiana na nchi za eneo hili kwa ajili kulinda na kufanikisha manufaa ya pamoja.
Habari ID: 3473344    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/09