IQNA-Kwa muda wa karibu miezi saba sasa, utawala katili wa Israel umekuwa ukidondosha mabomu kila siku katika Ukanda wa Gaza na sasa Umoja wa Mataifa unasema zoezi la kutegua mabomu ambayo hayajalipuko eneo hilo linaweza kuchukua muda miaka 14.
11:02 , 2024 Apr 27