Mwanadamu ni mhitaji wa kila kitu. Je, tumuulize nani atukidhie mahitaji yetu na atuondolee matatizo tuliyonayo? Mwenyezi Mungu ambaye anajua mahitaji yetu anasema. " Na muombeni Mwenyezi Mungu fadhila zake. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu."
11:18 , 2024 May 03