IQNA

Amiri Jeshi Mkuu Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika operesheni ya Ahadi ya Kweli

Amiri Jeshi Mkuu Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika operesheni ya Ahadi ya Kweli

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Vikosi vya kijeshi vimeonyesa taswira nzuri ya uwezo na mamlaka yao, na pia taswira yenye kupongezwa ya taifa la Iran, sambamba na kuthibitisha kuibuka kwa uwezo wa irada wa taifa la Iran katika uga wa kimataifa," akiashiria mafanikio ya majeshi ya Iran katika operesheni dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel hivi karibuni.
16:34 , 2024 Apr 21
Qari wa Algeria asoma aya za Qur'ani kwa heshima kwa watu wa Gaza (+Video)

Qari wa Algeria asoma aya za Qur'ani kwa heshima kwa watu wa Gaza (+Video)

IQNA - Picha za qari wa Algeria akisoma Qur'ani kwa ajili ya kuwaenzi watu wa Gaza zimesambaa katika mitandao ya kijamii.
16:26 , 2024 Apr 21
Qari Panahi wa Iran akisoma  aya za Sura A-Haj (+Video)

Qari Panahi wa Iran akisoma aya za Sura A-Haj (+Video)

IQNA - Mohammad Javad Panahi, qari maarufu wa Irani, hivi karibuni alisoma aya za Surah Al-Haj ya Qur'ani Tukufu.
16:17 , 2024 Apr 21
Msanii anaonya kuhusu kufifia kaligrafia ya Qur'ani

Msanii anaonya kuhusu kufifia kaligrafia ya Qur'ani

IQNA - Mwandishi kaligrafia nchini Iran ambaye ni mtaalamu wa uandishi wa maandishi ya kidini, hususan aya za Qur'ani Tukufu, amebainisha wasiwasi kuhusu kupungua kwa idadi ya watu wanaojifunza kaligrafia ya Qur'ani.
16:01 , 2024 Apr 21
Wawakilishi wa nchi 30 wanashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Rwanda

Wawakilishi wa nchi 30 wanashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Rwanda

IQNA - Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yanafanyika nchini Rwanda leo Jumapili.
15:39 , 2024 Apr 21
Hatima ambayo Mwenyezi Mungu ameainisha na nidhamu ya kihisia katika Qur'ani

Hatima ambayo Mwenyezi Mungu ameainisha na nidhamu ya kihisia katika Qur'ani

IQNA – Baadhi ya mafundisho ya Qur'ani kama vile yale kuhusu kudhibi Mwenyezi Mungu mambo yote na matukio yanayotokea maishani hutusaidia kudhibiti na kurekebisha hisia na hisia zetu.
20:50 , 2024 Apr 20
Maonyesho ya Kumbukumbu ya Kubomolewa Makaburi ya Baqi katika Haram ya Imam Ridha (AS)

Maonyesho ya Kumbukumbu ya Kubomolewa Makaburi ya Baqi katika Haram ya Imam Ridha (AS)

IQNA - Maonyesho ya Kumbukumbu ya Kubomolewa Makaburi ya Baqi yamefanyika katika Haram ya Imam Ridha (AS) mnamo Aprili 17, 2024.
20:34 , 2024 Apr 20
Mbunge wa Uturuki asoma Qur'ani kupongeza Operesheni ya 'Ahadi ya Kweli' ya Iran dhidi ya Israel

Mbunge wa Uturuki asoma Qur'ani kupongeza Operesheni ya 'Ahadi ya Kweli' ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mbunge mmoja wa Uturuki ameiongeza Iran kwa kutekeleza operesheni ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya utawala wa Israel hivi karibuni.
20:25 , 2024 Apr 20
Saudia yafafanua masharti ya Visa ya Umra kabla ya Hija

Saudia yafafanua masharti ya Visa ya Umra kabla ya Hija

IQNA – Serikali ya Saudi Arabia imefafanua masharti ya viza ya Umra, ikibainisha kuwa wote wanaoshiriki katika ibada ya Hija ndogo ya Umra wanapaswa kuondoka nchini humo huo kufikia Juni 6.
20:06 , 2024 Apr 20
Wanaharakati 1,000 kufikisha misaada ya kibinadamu Gaza kwa meli

Wanaharakati 1,000 kufikisha misaada ya kibinadamu Gaza kwa meli

IQNA-Maandalizi yanaendelea na Muungano wa Kimataifa wa Msafara wa Meli wa Uhuru, unaoundwa na mashirika yasiyo ya kiserikali kutoka nchi kadhaa, ili kupeleka misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza unaokabiliwa na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala haramu wa Israel.
17:59 , 2024 Apr 20
Hali ni shwari baada ya Iran kutungua quadcopter tatu katika mji wa Isfahan

Hali ni shwari baada ya Iran kutungua quadcopter tatu katika mji wa Isfahan

IQNA-Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, mfumo wa ulinzi wa anga wa Iran umetungua ndege tatu ndogo zisizo na rubani aina ya quadcopter katika mkoa wa Isfahan ulioko katikati mwa nchi saa kadha baada ya vyombo vya habari vya Marekani kuwanukuu maafisa waandamizi wa nchi hiyo wakidai kwamba makombora ya utawala wa Kizayuni wa Israel yamepiga eneo la Iran.
18:02 , 2024 Apr 19
Marekani yatumia kura ya turufu kupinga uanachama kamili wa Palestina katika Umoja wa Mataifa

Marekani yatumia kura ya turufu kupinga uanachama kamili wa Palestina katika Umoja wa Mataifa

IQNA-Marekani, ambayo ni muungaji mkono mkuu wa utawala haramu wa Israel, imeendeleza sera yake ya kudhoofisha kupatikana haki za Wapalestina kwa kutumia vibaya haki yake ya kura ya turufu na kupinga azimio la kuipatia Palestina uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa.
17:41 , 2024 Apr 19
Jela ya Kentucky  Marekani kuruhusu Hijabu baada ya mapatano

Jela ya Kentucky Marekani kuruhusu Hijabu baada ya mapatano

IQNA - Mapatano yamefikiwa katika kesi inayohusu jela ya Mkoa wa Warren iliyoko Bowling Green, Kentucky, nchini Marekani kuhusu mwanamke Muislamu kunyimwa haki yake ya kidini ya kuvaa Hijabu.
17:31 , 2024 Apr 19
Mkutano wa kimataifa kuhusu Makaburi ya Baqi wazinduliwa Qom

Mkutano wa kimataifa kuhusu Makaburi ya Baqi wazinduliwa Qom

IQNA - Mkutano wa kimataifa uliopewa jina la "Makaburi ya Baqi, Mahali Walimozikwa Maimamu na Masahaba" umefanyika katika mji mtakatifu wa Iran wa Qom siku ya Alhamisi.
16:43 , 2024 Apr 19
Balozi wa Iran nchini Iraq: Arbaeen Machi Mfano wa Utamaduni Mtukufu wa Kiislamu

Balozi wa Iran nchini Iraq: Arbaeen Machi Mfano wa Utamaduni Mtukufu wa Kiislamu

IQNA - Balozi wa Iran nchini Iraq Mohammad Kazem Al Sadeq amesema kuimarika kila mwaka mjumuiko na matembezi ya Arbaeen kama mfano wa utamaduni adhimu wa Kiislamu.
16:36 , 2024 Apr 19
2